Harmonize aiokoa Ndanda SC baada ya kukwama Singida kisa pesa za hotel

IF YOU ARE 18 YEARS CLICK BELOW TO WATCH AND DOWNLOAD FULL VIDEO

Thursday, October 11, 2018

Harmonize aiokoa Ndanda SC baada ya kukwama Singida kisa pesa za hotel

Msanii wa bongo fleva Harmonize ambaye pia ni shabiki mkubwa wa timu ya Ndanda SC, ametoa shilingi milioni 3.5 kwaajili ya kuisaidia timu hiyo iliyokwama mkoani Singida baada ya mchezo wake wa LigikuuTanzaniaBara uliochezwa Oktoba 6, 2018 dhidi ya Singida United, na kufungwa mabao 3-1.
Share :
Facebook Twitter Google+

 

Back To Top