Msanii wa bongo fleva Harmonize ambaye pia ni shabiki mkubwa wa timu ya Ndanda SC, ametoa shilingi milioni 3.5 kwaajili ya kuisaidia timu hiyo iliyokwama mkoani Singida baada ya mchezo wake wa LigikuuTanzaniaBara uliochezwa Oktoba 6, 2018 dhidi ya Singida United, na kufungwa mabao 3-1.
Thursday, October 11, 2018
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

